Bomba la Maji likipasuka ni MANAWASA mnatengeneza au Mteja?
Bomba la Mteja linapopasuka mbele ya Mita ya Maji mteja anawajibika kulitengeneza na kuzuia maji kumwagika lakini Bomba likipasuka nyuma ya Mita ya Maji MANAWASA wanawajibu wa kulitengeneza.