Maunganisho Mapya

Maunganisho mapya ya maji. Mmamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Masasi na Nachingwea (MANAWASA) inatoa huduma ya maunganisho ya maji kwa wateja wapya wa majumbani,Taasisi,Biashara na viwanda kwa  sasa MANAWASA inatoa huduma kwa njia ya mtandao(online).Hivyo mteja anatakiwa kuomba huduma ya maji kiganjani.kwa maelekezo ya awali;

  • Ingia google/chrome
  • Ingia huduma.maji.gov.go.tz
  • Bonyesha MajiOAP
  • Chagua aina ya huduma ya maji(maji safi)
  • Baaa ya maelekezo hayo ya awali utafuata maelekezo mengine kutoka kwenye mfumo hadi utakapokamilisha kujaza fomu.

NB.

Baada ya mteja kujaza fomu ya maombi ya huduma ya maji atapewa namba ufuatiliaji na atapimiwa ili kupata gharama za maunganisho.Baada ya malipo kukamilika mteja atapata huduma ya maji ndani ya siku saba(7) za kazi toka siku aliyolipia kama mkataba wa Huduma kwa wateja unavyoeleza.

Kwa msaada piga:  0798 218 163

slot gacor