Maadili ya Msingi
  • Uwazi, Taasisi itazingatia uwazi katika uendeshaji wa shughuli zake za kila siku.
  • Uadilifu, Viongozi na Watumishi watazingatia uadilifu kwenye utoaji wa huduma.
  • Uaminifu, Taasisi itazingatia uaminifu katika utoaji wa huduma.
  • Uwajibikaji, Taasisi itawajibika kwa wateja wanao wahudumia
  • Ubunifu, Taasisi itaupatia kipaumbele ubunifu katika utoaji wa huduma  na kutatua changamoto za wateja.