Mteja anapoomba huduma ya maji kwa mara ya kwanza anatakiwa afanye nini?
Mteja anatakiwa kuwa na viambatanisho vifuatavyo;
- Picha moja Passport size (yenye rangi ya blue nyuma)
- Nakala ya kitambulisho kimoja wapo kati ya;
kitambulisho cha Taifa,Kitambulisho cha mpiga kura,Kitambulisho cha kazi na leseni ya udereva.